Conscious Community MAUAJI:MTANZANIA AUAWA KIKATILI/RISASI NNE/AFRIKA KUSINI/SHUHUDA ASIMULIA MAZITO.. afrocon January 16, 2023 1 min read 26 Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja … source Continue Reading Previous Previous post: Neef van oprichter Black Lives Matter overleden na gewelddadige aanhouding | HLF8Next Next post: When Trump's USA seizes Maxwell Chikumbutso 26 thoughts on “MAUAJI:MTANZANIA AUAWA KIKATILI/RISASI NNE/AFRIKA KUSINI/SHUHUDA ASIMULIA MAZITO..” Hawa jamaa hawana shukrani Sisi Tanzania ndio tuliowachangia wakawa huru Reply Mngemua polisi mmoja tu tungetoka drop mmezingua wabongo Reply Msouth Africa anakua ata kwa rand mia nashukuru sana kuondoka ilo beach Reply pumzika kwa AmaniðŸ˜ðŸ˜ Reply Awa siwanthu wasauzi ndiwanyama Reply Hajapgwa risasi mzee marehem kafa kwa kipgo cha polis Reply Watanzania acheni kuishi sauthi kozi hakunaga amani kule Reply Duuh Reply Acheni mambo ya uongo ajapigwa risasi acheni uongo.. nyie nipo Joz tukio nalifahamu acheni uongo.. alivishwa plastic bag kichwani Reply Npigo kwa mtanzania mwezetu Reply South africa police are theves they took my R15,000 at pack station i will curse them till the end of the day Reply Wanajitakia wenyewe! Siwapi pole. Reply Sio kweli hajauawa kwa risasi police wamemvishavmfuko na kumpulizia dawa ya spry pia walimpiga sana Reply Tulioko huku tu najua watu kuuawa nijambo la kawaida tu Reply Polisi wahuku niwezi pia alikataa kuwapa ndo maana walimuua Reply Wabongo south afrika, wanafanya uhalifu,wanauza madawa, jeeee wanaonewa?? Reply Hawajamaa wanazinguwa kweli mwaka tisini nanane walimuua Kaka yangu Abdala OMAR MBWEKU Reply Hyo muongo hajapigwa risasi Reply Jamaa kutoka TANGA huyo aliyepigwa mjegeje… Reply Mmh hao waoishi huko toka tz wenyewe wapigaji tuuuu. Yani hawaeleweki z ndio hukupenda wanajiona wajanja kutoboq kuweka meno ya zahabu acha ya wakute tu kusini ni wana wivu sana Reply Mbona mnanitisha wakati Nina mpango wakuzamia SA Reply Jamani jina rake nani Reply Wacheni tarifa za kishoga na uwongo hajapigwa risasi watanzania mnapenda story za uwongo sana Reply R.i.p Abdillah tutakukumbuka daima ndugu yetu wa barabara ya 18 inasikitisha umeuliwa kikatili sana tupo nyumbani tunausubiri mwili wako Reply Atamume wangu aliuawa kwa kuvamiwa hivyohivyo mazingira ya huko hatar yn aliniachia mtoto naumia mbaka Leo hii Reply Pole I xn wafiwa mungu. Awape uvmiliv ktk wakt huu mgum w majonzi Reply Leave a Reply Cancel replyYour email address will not be published. Required fields are marked *Comment * Name * Email * Website Save my name, email, and website in this browser for the next time I comment. Related News Brother Polight Was Never Spiritually Conscious September 16, 2023 Free Electricity From The Moringa Tree July 4, 2023
Acheni mambo ya uongo ajapigwa risasi acheni uongo.. nyie nipo Joz tukio nalifahamu acheni uongo.. alivishwa plastic bag kichwani Reply
South africa police are theves they took my R15,000 at pack station i will curse them till the end of the day Reply
Sio kweli hajauawa kwa risasi police wamemvishavmfuko na kumpulizia dawa ya spry pia walimpiga sana Reply
Mmh hao waoishi huko toka tz wenyewe wapigaji tuuuu. Yani hawaeleweki z ndio hukupenda wanajiona wajanja kutoboq kuweka meno ya zahabu acha ya wakute tu kusini ni wana wivu sana Reply
R.i.p Abdillah tutakukumbuka daima ndugu yetu wa barabara ya 18 inasikitisha umeuliwa kikatili sana tupo nyumbani tunausubiri mwili wako Reply
Atamume wangu aliuawa kwa kuvamiwa hivyohivyo mazingira ya huko hatar yn aliniachia mtoto naumia mbaka Leo hii Reply
Hawa jamaa hawana shukrani Sisi Tanzania ndio tuliowachangia wakawa huru
Mngemua polisi mmoja tu tungetoka drop mmezingua wabongo
Msouth Africa anakua ata kwa rand mia nashukuru sana kuondoka ilo beach
pumzika kwa AmaniðŸ˜ðŸ˜
Awa siwanthu wasauzi ndiwanyama
Hajapgwa risasi mzee marehem kafa kwa kipgo cha polis
Watanzania acheni kuishi sauthi kozi hakunaga amani kule
Duuh
Acheni mambo ya uongo ajapigwa risasi acheni uongo.. nyie nipo Joz tukio nalifahamu acheni uongo.. alivishwa plastic bag kichwani
Npigo kwa mtanzania mwezetu
South africa police are theves they took my R15,000 at pack station i will curse them till the end of the day
Wanajitakia wenyewe! Siwapi pole.
Sio kweli hajauawa kwa risasi police wamemvishavmfuko na kumpulizia dawa ya spry pia walimpiga sana
Tulioko huku tu najua watu kuuawa nijambo la kawaida tu
Polisi wahuku niwezi pia alikataa kuwapa ndo maana walimuua
Wabongo south afrika, wanafanya uhalifu,wanauza madawa, jeeee wanaonewa??
Hawajamaa wanazinguwa kweli mwaka tisini nanane walimuua Kaka yangu Abdala OMAR MBWEKU
Hyo muongo hajapigwa risasi
Jamaa kutoka TANGA huyo aliyepigwa mjegeje…
Mmh hao waoishi huko toka tz wenyewe wapigaji tuuuu. Yani hawaeleweki z ndio hukupenda wanajiona wajanja kutoboq kuweka meno ya zahabu acha ya wakute tu kusini ni wana wivu sana
Mbona mnanitisha wakati Nina mpango wakuzamia SA
Jamani jina rake nani
Wacheni tarifa za kishoga na uwongo hajapigwa risasi watanzania mnapenda story za uwongo sana
R.i.p Abdillah tutakukumbuka daima ndugu yetu wa barabara ya 18 inasikitisha umeuliwa kikatili sana tupo nyumbani tunausubiri mwili wako
Atamume wangu aliuawa kwa kuvamiwa hivyohivyo mazingira ya huko hatar yn aliniachia mtoto naumia mbaka Leo hii
Pole I xn wafiwa mungu. Awape uvmiliv ktk wakt huu mgum w majonzi