
MWILI wa MTANZANIA ALIYEFIA VITANI WAONDOKA URUSI, WAZIRI AELEZA – “ALIFUNGWA JELA MIAKA 7″…
Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania, Stergomena Tax amesema Mtanzania aliyefariki dunia nchini Urusi, Nemes Tarimo alikuwa nchini humo kwa ajili ya masomo na alijiunga na Chuo cha Moscow Technology Pro mwaka 2020 kwa masomo ya shahada ya uzamili katika fani ya Business Informatics.
Waziri huyo amesema taarifa walizozipokea ni kwamba mwezi Machi 2022 Mtanzania huyo alihukumiwa kifungo cha miaka saba gerezani kwa mujibu wa sheria za Urusi kwa vitendo vya uhalifu.
Amesema kwamba akiwa gerezani alipewa nafasi ya kujiunga na kikundi cha kijeshi kilichopo nchini humo kinachofahamika kama Wagner kwa ahadi ya kulipwa fedha lakini pia kwa ahadi ya kuachiwa huru mara baada ya vita na alikubali kujiunga na kikundi hicho hadi alipokutwa na umauti katika vita ya Urusi na Ukraine,
Waziri Tax amesema tayari mwili wa Mtanzania huyo umeondoka nchini Urusi kurejeshwa kwa familia kwa ajili ya taratibu za mazishi.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE:
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:
⚫️ iOS:
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST:
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 713 750910)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI:
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
⚫️ GLOBAL RADIO TV:
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW:
⚫️ Subscribe Global TV
source
Amekufa kishujaa
🙏 RIP JESHI
Vitendo gani vya kihalifu alifanya? Kumbukumbu za mahakama zao si ziko? Vipi kama alilazimishwa kujiunga?
Waziri mwezi October mwaka huu ina maana wewe waziri umeisha ingia October mwaka huu ndio alikufa
24 mwezi October mwaka huu kumbe tumefika October maajabu
He was forced to join the fight
Wazir wet ashafik October mwak huu pongez, Rest in peace kijan 😭😭
innalillahi wainnaillahi rajiuni
Urusi wanatwambia nini taifa wanalilipa nini kuipoteza nguvu kazi
Waainishe makosa na pesa ni shingai wanatulipa la sivyo tutaingia nao vita pia wanamuunganisha jeshini huyu ni mwanajeshi au unyanyasaji
Boraa ungebaki gela wakati nyie mnatangulizwa kama chambo
Octoba gani jamani sijamwelewa huyu mtangazaji
Tumepigwa na kitu kizito 😂😂😂🤣🤣🤣 tutafika mbinguni tukiwa tumechoka Sana.
Hii tamaa watanzania tunaelekea wapi mbandala yakupingania inch yako unaenda kufa kizembe huyu angezikwa hukohuko nawengine wajifuze ntazania ya amani ndomaana huluka ya utanzania umemulani angetoka huko angeleta machafuko katika inchi ya Aman ewe Allah tunusulu na hawa nye tamaa umeso meshwa kwafedha dha watanzania wazazi leohii malipo kwazanzi maumivu jaman vijana some hiistoria ya inchi
💔🕊️
hembu toeni nafsi za kua maluki tuende rusia tu nyooshe ukren maana tuna hamu vita
Bas walimuonea
😭😭😭
Huyu ndio shujaa aliepigana Kwa mikono yake miwili zidi ya kampeni za kueneza ushoga duniani inatakiwa na sisi pia tufuate nyayo zake Ili tufe tukiwa mashujaa