Yaani hua sielewi hizo takwimu zenu kuna zingine zinashangaza sana utasikia jeshi la kongo lipo juu kuliko la Tanzania hapo unaweza kushangaa sasa taifa kama kongo wanashindwa kuwaondoa waasi ndani ya nchi yao nchi ya 9 aflica halafu bado mnatwambia ni nchi ya tisa wewe wingi wa wanajeshi sio nguvu nyie tumieni.akili kufikilia
Wewe sio kamanda na hujui mambo ya kijeshi, takwimu zako ni za uongo Congo amekaa halo ila Tanzania haipo, we unadhani Tanzania na Congo nani ana jeshi imara
Fafanuo tv nicheki WhatsApp tafadhali 0782850990 0656672348
good
Yaani hua sielewi hizo takwimu zenu kuna zingine zinashangaza sana utasikia jeshi la kongo lipo juu kuliko la Tanzania hapo unaweza kushangaa sasa taifa kama kongo wanashindwa kuwaondoa waasi ndani ya nchi yao nchi ya 9 aflica halafu bado mnatwambia ni nchi ya tisa wewe wingi wa wanajeshi sio nguvu nyie tumieni.akili kufikilia
Takwimu zenu ni uongo mtupu
Wewe sio kamanda na hujui mambo ya kijeshi, takwimu zako ni za uongo Congo amekaa halo ila Tanzania haipo, we unadhani Tanzania na Congo nani ana jeshi imara
BBC wamedaganya Tanzania iko miongoni mw a top ten country power of army
Tafuteni picha za vikosi usika mnavyovitaja sio mnatumia picha za vikosi za aina moja,
Tanzania tunafanya kaole kwenye jeshiletuu
TanzAnia haipo
Wew utakuwa no mrundi maana tarifa zako hazija jitosheleza
Axante:
Fala wewe unaleta uongo na huna takwimu
Muongo
Hajui chochote