Posted in African News KWA KISWAHILI HOTUBA YA IBRAHIM TRAORE’ MBELE YA RAIS VLADIMIR PUTIN afrakan July 28, 2024 32 Comments Related Articles JONAS SAVIMBI PROFETIZOU IBRAHIM TRAORÉ (Sobre o quem está atrasar a África) Explained: The dictators reshaping West Africa Capitaine Ibrahim Traoré : “C’est une charge” O que Ibrahim Traoré Pediu a Putin no Encontro do Dia da Vitória – Surpreendente!
Tatizo kubwa ni viongozi wote wa Afrika ni vibaraka wa wazungu na wanapangiwa majukumu kuwa Africa wasiijali waibe mapesa na kuwapa na wazungu na wmeambiwa kama kuna matatizo watasaidiwa hilo ndilo tatizo kubwa mbwa weusi Reply
chadema oyeee uyu mtu ana akili sana katika bara la Afrika na tamani Afrika yote ipate watu kama awa wawe viongozi Ibrahim ni zaidi ya mfano Afrika Reply
Zaliwa kachira afrikaans unaware nyingisana tutumie asiriyetu kuzirinda kamatanzania tunakirakitu kikubwatu turpentine naturindane asanteni sana Reply
I'm team mate of captain traore mwamba wa miamban
New African blood
Angekuwepo na magufuli pangechangamka
May you live Long our hero 💚💚🙏🙏🇰🇪
Jamaa ni noma sana mungu amlinde na maadui
👊
Ibrahim Ibrahim ❤❤❤
MAGUFULI ANGEKUWA HAIII WAMENGIISHI VIZUR SANA NA IBUUU AISEEE
This is a very humble president, may God bless him always
ALLAH AKUJALIE MTETEZI WA AFRICA
Tanzania tunamuomba mungu tupate mzalendo lahiri kama rais Ibrahim traore
Tatizo kubwa ni viongozi wote wa Afrika ni vibaraka wa wazungu na wanapangiwa majukumu kuwa Africa wasiijali waibe mapesa na kuwapa na wazungu na wmeambiwa kama kuna matatizo watasaidiwa hilo ndilo tatizo kubwa mbwa weusi
Safi mwamba nakuelewa sana
Filipo mpango
Hamna anayezungumzia kibao cha burundi kwenye nafasi ya rais wa Burkinafaso
yaani huyu angekutana na magufuli huyu wangetengeneza kitu
Mtu imara sana
Kwa kwel huyu ni resposible and patriotic leader bravo Ibrahim traole
🇹🇿❤❤❤❤🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙏
Nakupenda mpaka mtoto wangu nilie mzaa nimempa jina traole nategemea atakuwa kama wewe
Mashalla mashalla mashalla ❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Namkubali Sana huyu mwamba raise traole
chadema oyeee uyu mtu ana akili sana katika bara la Afrika na tamani Afrika yote ipate watu kama awa wawe viongozi Ibrahim ni zaidi ya mfano Afrika
❤❤❤
Traore oyeeee!!! Africa oyeee!!! From Tanzania pamoja sana tunakupenda mfalme wa Africa
Mwambie xamya mdie hombahomba😅
Zaliwa kachira afrikaans unaware nyingisana tutumie asiriyetu kuzirinda kamatanzania tunakirakitu kikubwatu turpentine naturindane asanteni sana
Tanzania 🇹🇿 tunachelewa wapi😢
Dah WAMEKUPELEKA WAPI TESHA JAMAN😭😭😭😭😭
Afilika tungepata maraisi kama hawa
Afrika imteue traore awe rais wa afrika
Tumbeeni 2 viongoz kama hawa wapo wengi 2.africa