Mamia ya video zinazotolewa na AI zikimuonesha kiongozi wa Burkina Faso Kapteni Ibrahim Traoré, kama shujaa wa Afrika nzima, nyingi zikiwa na taarifa za uongo, zimekuwa zikijaa kwenye mitandao ya kijamii kote Afrika na Kusini mwa Jangwa la Sahara tangu mwishoni mwa Aprili.
Je zimekuwa na ukweli kwa kiasi gani?
@sammyawami anaelezea
#bbcswahili #burkinafaso #ibrahimtraore
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili










Hakuna habari ya BBC itaandika fahari ya Africa.
Zaidi wataandika Africa yenye njaa ,wataandika wamesaidia ila misaada ya magharibi inachekesha sana. Wakimbizi nk. Hawawezi kamwe kueleza mafaniko. Habari zote za BBC kwa sasa siziamini kabisa. Mpaka nipate kwa chombo huru cha eneo husika.
Nyie BBC nimeanza kuwachukia kumbe Traore aliongea kweli kuwa hivi ni vyombo vya Habari vya hovyo na wapotoshaji wakubwa kwa Africa!sasa nimeamini kuwa Mwamba yupo sawa kabisa kwa aliyo yasema ni ya kweli na yamewaumiza sasa kwa kuwa mmeambiwa ukweli na nyie mmeamua kutoa hadharani chuki zenu kwake!!Africa sasa tunajua ukweli hamuwezi kutudanganya tena nyie wapuuzi!!
Nimepata hadi hasira, yaani na ww kumbe nilivyokuwa nakutizama kumbe ni walewale kasoro mkia, kaa kimya acha kutupotosha watu, acha kutupotoshea baadhi ya waAfrica wasioelewa nn mnakiandaa, mnatengeneza propaganda zenu za kijinga mkidhani tutaingia kingi, haya hao mabwana zako walifanya nini hapo buk'faso!? Zaidi ya kujinufaisha wao? Wajinga kama nyinyi nikiwaona mnakata roho kisa kiu ya maji nakumalizia na gundi
Tokaaaaa zako huna la kutuambia, fala ww nenda zako huko na kibbc chako huna jipya la kutuambia kichaa tu ww
Una sauti nzuri sana lakini amna mtu asiyejua kuwa mnatumika watu weusi mnatumika vibaya na vyombo vya habari vya magharibi kudanganya waafrica na ulimwengu kiujumla tafuta kazi nyingine kama salimu kikeke bro acha kutumika kipumbavu na watu wa magharibi
Mshenzi wwe kibaraka WA magharibi
Uyu mpuuz kibaraka kmmk
BBC NYIE HATUTAKI MAONI NA UCHAMBUZI WENU MAANA NYIE NII WACHUMIA MATUMBO YENU BILA KUFIKILIA NDUGU ZENU WAAFRIKA
Wewe mtoa habari ukapimwe akili na bbc yako wote mafara tu
Kuna vitu ukisoma sms tu basi unapata kuona nn kipo mbele ya pazia kwasababu hili pazia halipo tena nyuma
BBC mnaonyesha udhaifu wenu hadharani baada ya kijana Mdogo kuwaumbua ujinga wenu na mnaongozwa na hao magharibi
hata huyu hana aibu msaliti wewe hata kama uko kazi..
Saiv hamudanganyi watu na Ibrahim traore Hana miaka 20 achane unafiki
Huna lolote nyinyi ni washenzi tu, wewe kama watala , unatumika , huna aibu ? We kama Wensley tu , nenda kaishi UK, teachers na afrika yetu
You're nothing to say that
Sijui wanakulipa shilling ngapi
Mbona black hampendi maendeleo ya black wenzenu mnatumiwa kujichafua wenyewe Kwa wenyewe,
ACHA KUPOTOSHA WATU WA AFRICA
KWA UAFRICA WAKO
Wa African tumelogwa na nani mbona mambwa hasa wakenya
NILIKUWA NAJIULIZA VYOMBO VYA HABARI AMBAVYO NI VIBARAKA WA MAREKANI NI VIPI KUMBE NI BBC BAC KUANZIA MDA HUU NGOJA NIKA UNSUBSCRIBE
NILIKUWA NAJIULIZA VYOMBO VYA HABARI AMBAVYO NI VIBARAKA WA MAREKANI NI VIPI KUMBE NI BBC BAC KUANZIA MDA HUU NGOJA NIKA UNSUBSCRIBE
Nnachoshukuru sisi waafrika tumeanza kuwaelewa hawa wapumbavu kabisa
Bado hamjbdlka, mnatuonesha wamama w vjjn wanaenda kismani,INAWAUMA ?? WAENGREZA VP APO!!??