Posted in African News HUYU IBRAHIM TRAORE NI MTU HATARI KABISA ANAFUATA NYAYO ZOTE ZA PUTIN -AWACHANGANYA WAZUNGU afrakan December 23, 2025 21 Comments Related Articles Burkina Faso Releases 11 Nigerian Troops – But The Real Story Starts Now Dédicace du livre «Le Capitaine Ibrahim TRAORÉ a dit » suivi du lancement de la plateforme BAORE Burkina Faso scraps visa fees for all African nationals Watch Meloni’s Powerful AU Speech In English, Italy PM Roars With ‘Stop Exploiting Africa’
Sasa huyu mwamba kwa kipindi chake kifupi tayari kashafanya vitu kubwa lakini kuna ambao tumeanza kujitawala tangu 1961 laki bado barabara ni mbovu na viwanda vimekufa pamoja na kuwa tuna hadhina kubwa ya rasilimari na madini Reply
Mungu azidi kumlinda dhidi ya maadui zake, na ampe nguvu na afya njema na baraka teleeee.Big up Sana PR. Ibrahim traole🎉🎉🎉 Reply
Ya rabby mbariki hibrahim raisi wa bukina faso, mkinge na maadui wao mwandama.
Big up Traole presdent of national Bukinafaso
Mungu mlinde IBRAHIM TRAOLE
Kwa sasa ndio rais bora zaidi Afrika
Jamaaa mashine
Nimfano wa kuigwa
I like him
Sasa huyu mwamba kwa kipindi chake kifupi tayari kashafanya vitu kubwa lakini kuna ambao tumeanza kujitawala tangu 1961 laki bado barabara ni mbovu na viwanda vimekufa pamoja na kuwa tuna hadhina kubwa ya rasilimari na madini
Africa must unite
Hicho nichuma na kiongozi wa africa 🌍
https://youtu.be/wIwgzsliDSw?si=HRrd0xzGsgAQ5LFE
Mungu azidi kumlinda dhidi ya maadui zake, na ampe nguvu na afya njema na baraka teleeee.Big up Sana PR. Ibrahim traole🎉🎉🎉
❤❤❤❤
Mungu mlefushie umuri mlefu ubrahim turaole atengeneze nchi zaidi
Huko sawa ila sasa tz yangu na jwtz ccm 😂😂😂😂
Hawa ndomalais bola kulko sio bola lais
Mumgu azidi kmpa pumzi
Hili jamaa linaakiri kwer wakina magu watatokea wengu
Kweli nchi ni jeshi
Safii
Africa wakipatikana viongoz wenye uchungu na bunadamu wenzao mbona maendeleo yapo tena chap