TAZAMA ‘CAPTAIN’ TRAORE, RAIS PUTIN, WALIVYOWEKA MAUA KWENYE MOTO WA…

TAZAMA ‘CAPTAIN’ TRAORE, RAIS PUTIN, WALIVYOWEKA MAUA KWENYE MOTO WA…



Rais wa Burkina Faso, ‘Captain’ Ibrahim Traore ni miongoni mwa Marais wa Afrika waliohudhuria kwenye maadhimisho ya siku ya ushindi (Victory Day) Mei 9, 2025 ambapo ameonekana akiwa karibu na rafiki yake Rais wa Urusi, Vladimir Putin.

Baadae viongozi hao wakiongozwa na Putin walionekana wakiweka maua kwenye eneo linalowaka moto ikiwa ni ishara ya kukumbuka damu iliyomwagika wakati wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia (WWII).

Siku ya Ushindi huadhimishwa Mei 9 kila mwaka nchini Urusi, ikiwa ni kumbukumbu ya ushindi wa mwaka 1945 katika Vita Kuu ya Pili ya Dunia, ambapo majeshi ya Umoja wa Kisovieti yalifanikiwa kuishinda Ujerumani ya Adolf Hitler.

44 thoughts on “TAZAMA ‘CAPTAIN’ TRAORE, RAIS PUTIN, WALIVYOWEKA MAUA KWENYE MOTO WA…

  1. Russia ndio nchi pekee inayopenda kuona ukoloni unakwisha kwenye nnchi zakiafrica, wazungu wa ulaya ya kati na Marekani wamesha tutumia sana sasa ifike mwisho wa Africa tuungane tutumie rasilimali zetu kwa manufaa ya wazawa na sio kuwawapa waarabu na wazungu sisi tuendelee kuteseka vizazi na vizazi

  2. Rais anaenda mwenyewe kueleza dunia ije Burkinafaso kuwekeza,,
    Sisis huku TZ SAMIA anajibembeleza mama wa watu huko kwa wazungu wanakubali kuja, majitu aliyo yaamini yanaweka mbinu za kupiga dealz halafu wananchi waseme SAMIA NDO hana akili… Jaman!!!!!

  3. Raisi putini mungu azidi kumlinda na kila Shari pamoja na ibrahim traore umeona alivyokuwa bega kwa bega na Raisi watu ibrahim traore siyo kama wale wajomba walitupakia kwenye basi la abiria na hawakutaka hata tugusanenao hata mikono

Leave a Reply to @ماريافيدال Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *